UBORA WA KOROSHO UMEONGEZEKA KUTOKA ASILIMIA 95 HADI KUFIKIA ASILIMIA 97

Na Moreen Rojas Dodoma Jumla ya tani 8,959.023 za korosho ghafi zilibanguliwa ndani ya nchi kati ya tani 240,158.753 zilizozalishwa sawa na 3.7% na jumla ya leseni 55 za ununuzi wa korosho kwa ajili ya kusafishia nje ya nchi zilizotolewa ikiwa ni ongezeko la kampuni 5 ukilinganisha na leseni katika msimu wa 2020/2021. Fransis Afred